![](https://tacha.or.tz/sites/default/files/styles/max660/public/2023/10/05/deer-in-tall-grass-1024x736.jpeg?itok=3supAXYs)
Maombi yanatakiwa kutumwa kwa Kamanda wa Uhifadhi Kanda.
Kanda ya Kusini Mashariki
S.L.P 102
Masasi
Email: southeasternzone@tawa.go.tz
Quota imetolewa kwa kitalu cha Kilwa North Open Area kilichopo Wilaya ya Kilwa.
Soma kanuni za uwindaji 2022 ndio zinazotumika.